Watawala wa Sudan Wanathibitisha Kumsaliti Kwao Mwenyezi Mungu, Mtume Wake na Waumini kwa Kujiunga na Hadhira ya Usawazishaji Mahusiano, Kushirikiana na Makafiri, na Kuwakabidhi Ardhi Iliyobarikiwa!!
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa kiburi chake cha kawaida, Rais wa Amerika Donald Trump alitangaza kwamba Sudan na umbile la Kiyahudi wamekubali kusawazisha mahusiano.