Jumamosi, 19 Safar 1446 | 2024/08/24
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Vipi Khilafah Itakavyo Andaa Jeshi Lenye Nguvu Duniani Litakalo Pambana kwa Ajili ya Uislamu

• Tangu kuvunjwa kwa Khilafah 1924, usalama umekosekana ndani ya ulimwengu wa Waislamu, na kuwapelekea Waislamu kukosa mlinzi dhidi ya uvamizi wa madola ya kiulimwengu na kimaeneo, mapambano baina ya Waislamu yaliyo dhaminiwa kutoka nje na mabomu ya droni na kupelekea damu za Waislamu kukosa thamani. 

Soma zaidi...

Hatua za Kivitendo Zitakazo Chukuliwa na Khilafah Rashida ili Kuzuia Ukosefu wa Ajira

Ukosefu wa ajira ni mfano wa kadhia na matatizo mengineyo yaliyo sababishwa na mfumo huu wakilafi wa kiulimwengu wa kirasilimali, ikiwemo nidhamu ya kiuchumi ya kirasilimali inayotabikishwa ambayo huzalisha tu migogoro na majanga ya kiuchumi pekee, kwa kuwa iliunda nidhamu ya matabaka katika mujtama na kuongeza idadi ya wasiokuwa na ajira na kufilisi akiba za watu na kusambaratisha uchumi wa nchi nyingi duniani. 

Soma zaidi...

Vipi Khilafah Itatatua Umasikini – SEHEMU 2

Uislamu umeidhibiti kadhia ya umilikaji katika njia wazi na thabiti. Kila mtu binafsi anaruhusiwa kupata na kumiliki mali ya kibinafsi juu ya kila kitu ambacho si mali ya Ummah au Dola, kupitia njia ambazo Uislamu umeziruhusu (kazi, biashara, urathi, zawadi, nk.), yaani isipokuwa wizi, ulaghai, rushwa, kamari na riba, ufichaji mali …

Soma zaidi...

Vipi Khilafah Itazuia Dhuluma za Kisiasa?

Demokrasia, uhuru wa rai na haki ya kumchagua na kumhisabu mtawala, ni miito inayo pigiwa debe chini ya serikali za kibinadamu zilizoko leo duniani, lakini, urongo wa miito hii hudhihirika pindi mtu binafsi au kikundi cha watu kinapozikashifu serikali hizi na ufisadi wao, au kinapodai haki ambayo wameipoteza au majukumu ambayo serikali hizi zimefeli kutimiza kwa watu wake.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu