Jumanne, 05 Rabi' al-thani 1446 | 2024/10/08
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mwito kwa Majeshi ya Ulimwengu wa Waislamu Kuinusuru Gaza ‘Harakisheni Majeshi Yenu Kuikomboa Gaza Na Al-Aqsa’

Leo Ijumaa 20 Oktoba 2023 Miladi / 05 Rabi’ al-Akhir 1445 Hijria baada ya Swala ya Ijumaa, Hizb ut Tahrir Tanzania ilifanya visimamo vya maandamano baridi (picketing) sehemu mbali mbali nchini kutoa mwito kwa majeshi ya nchi za Waislamu kuchangamsha majeshi yao kuikomboa Gaza, Palestina na Masjid Aqsa.

Soma zaidi...

Wala Msifanye Uvivu Kuwafuatia Maadui kama Mumepata Maumivu Basi Wao Pia Watapata. Na Nyinyi Mnatumai Kwa Mwenyezi Mungu Yale Wasiyoyatumainia

Jumamosi tarehe saba Oktoba mwaka 2023, mashujaa wa ukanda wa Gaza walivuka mipaka ya umbile la Kiyahudi. Walishambulia ngome za adui na hivyo kufanya nyuso zao kuwa nyeusi. Shambulizi hili dhidi ya Jeshi la Kiyahudi limekashifiwa kote duniani ikiwemo Afrika.

Soma zaidi...

Je! Sio wakati Sasa, Enyi Jeshi la Kinana, wa Kukata Kiu Yenu ya Kuikomboa Al-Aqsa na Kuswali Humo?!

Watu waliamka jana asubuhi, Jumamosi, kwa vilio na mayowe ya umbile la Kiyahudi kufuatia shambulizi la kundi la Mujahidina kwenye makaazi yaliyozunguka Ukanda wa Gaza, wakichukua udhibiti wake, wakikamata idadi kubwa ya askari wa Kiyahudi, na kuwauwa mamia, na kujeruhi zaidi ya elfu yao

Soma zaidi...

Je! Wakati Haujafika kwa Maafisa Waheshimiwa wa Jordan Kunyanyuka ili Kuikomboa Palestina, wakati wakiona Kundi la Mujahidina Wametikisa Nguzo za Umbile Katili la Kiyahudi?

Katika dakika chache mnamo asubuhi ya Jumamosi, Oktoba 7, 2023, nguzo za umbile katili la Kiyahudi zilitikiswa, na jeshi lake la kioga likakimbia licha ya vifaa vyake, ala na nyumba za chuma, mbele ya kundi la Mujahidina ambao walivamia maeneo yake yaliyo nyakuliwa ardhini, baharini, na hewani, na vifaa vya kawaida, wakimtegemea Mwenyezi Mungu na kuwa na imani katika Nasr yake (ushindi).

Soma zaidi...

Enyi Jeshi la Tunisia, Msikwepe Jukumu Lenu la Kuliondoa Umbile Nyakuzi la Kiyahudi Mashujaa wa Palestina Wamelitikisa Umbile hili la Adui basi Wanusuruni na Muziangamize Nguzo zake

Mnamo leo asubuhi, Jumamosi, 07/10/2023, siku moja baada ya kumbukumbu ya Vita vya Oktoba, mashujaa wa Ukanda wa Gaza walizindua shambulizi la ghafla na la kufuatana ardhini, baharini, na hewani, pamoja na kurusha makombora 5,000 na mabomu ndani ya dakika 20 za kwanza, katika operesheni inayoitwa kimbunga cha Al-Aqsa.

Soma zaidi...

Uongozi wa Kijeshi na wa Kiraia Hebu na Uonywe. Kutambua Uwepo wa Umbile la Kiyahudi ni Khiyana kwa Mwenyezi Mungu (swt), Mtume Wake (Saw) na Waislamu. Watawala kama hao ni Wahalifu na Wanastahili Adhabu Kali Hapa Ulimwenguni na Kesho Akhera!

Mnamo tarehe 22 Septemba 2023, Waziri wa Mambo ya nje wa umbile la Kiyahudi, Eli Cohen alisema katika taarifa kwamba "nchi sita au saba" za Waslamu pia ziko tayari kusaini mikataba ya amani na umbile la Kiyahudi, kufuatia kujumuishwa kwa Saudi Arabia katika "makubaliano ya Abraham."

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu