Hizb ut Tahrir katika Wilayah Lebanon Inaendelea na Amali zake za Ziara huko Sidon Kuhusiana na Kambi ya Ain al-Hilweh na Athari za Matukio yake
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tangu kuzuka kwa matukio katika kambi ya Ain al-Hilweh mnamo 29/7/2023, haswa wakati na baada ya raundi ya pili, ya vurugu zaidi, lililozuka usiku wa Alhamisi, 6/9/2023, ambapo ilisababisha uharibifu mkubwa, hasa nje ya kambi ya Ain al-Hilweh, Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Lebanon imefanya kila juhudi kuendelea na kazi yake kujaribu kuzima ugomvi na kuzuia mapigano kwa kuwasiliana na wanasiasa na watendaji katika mji wa Sidon na Kambi ya Ain Al-Hilweh.