Katika Kumbukumbu ya miaka 99 ya Kuvunjwa kwa Khilafah, Enyi Waislamu, Isimamisheni, ambayo kwayo ni Izza, na kupitia kwayo Tunarudisha Hadhi yetu Miongoni mwa Watu na Mataifa
- Imepeperushwa katika Misri
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kumbukumbu ya maumivu inapita siku hizi, ambayo ni kumbukumbu ya kuvunjwa kwa Khilafah kupitia mhalifu wa karne hii, Mustafa Kemal, tarehe ishirini na nane Rajab 1342 H, sawia na Machi 3, 1924 M.