Umbile la Kiyahudi ni Jinai Kuu Iliyojadidishwa
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika uhalifu wa kikatili na wa khiyana, na uchokozi mpya wa kioga, vikosi vya uvamizi viliwaua vijana 3, akiwemo Mujahid Ibrahim Al-Nabulsi, alfajiri ya leo, Jumanne, na wengine 40 walijeruhiwa, watano kati yao walielezewa kuwa mahututi, wakati wa uvamizi wao wa mji wa Nablus.