Dori Yetu Katika Vita vya Ukraine ni Kufichua Propaganda
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vita katika Ukraine vimeiweka Magharibi katika mapambano dhidi ya adui wake wa muda mrefu – Urusi.
Vita katika Ukraine vimeiweka Magharibi katika mapambano dhidi ya adui wake wa muda mrefu – Urusi.
Vita vinaenda vibaya kwa Putin. Rais wa Urusi amejenga uongozi wake juu ya wazo la ukubwa wa Urusi ilhali udhaifu wa kibinafsi unamlazimisha kujaribu kuuthibitisha kwa kila fursa.
Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina inamuomboleza mmoja wa wanaume wa Hizb ut Tahrir, mbebaji Dawah kutoka kizazi cha kwanza katika safu zake, mtu mwema kutoka mji wa Al-Khalil. Marhum kwa idhini ya Mwenyezi Mungu (swt):
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan inaendesha kampeni ya mitandao ya kijamii katika mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwingi Kurehemu, na sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote, aliyeteremsha Qur'an na akatuchagulia Uislamu kuwa ndio Dini yetu, na rehma na amani zimshukie yule aliye anzisha Umma wa Kiislamu, bwana wa viumbe, bwana wetu Muhammad na juu ya familia yake na maswahaba zake wote.
Hizb ut- Tahrir Kenya kwa furaha inatuma salamu za pongezi kwa Waislamu nchini na kote ulimwenguni kwa ujumla kuingia mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Kwa Umma bora ulioletwa kwa wanadamu ... Umma wa Kiislamu ambao Mwenyezi Mungu (swt) aliukirimu kwa utiifu Kwake...
Kamati maalumu za kutafuta mwandamo wa mwezi zilizoundwa na Hizb ut Tahrir Malaysia ziliutafuta mwezi mwandamo wa Ramadhan uliobarikiwa wa mwaka huu 1443 H - 2022 M katika zaidi ya maeneo kumi tofauti kote nchini Malaysia.
Kalima ya Dkt. Nazreen Nawaz
Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir