Hizb ut Tahrir Wilayah ya Iraq imetowa toleo kuhusiana na uchaguzi wa Iraq
- Imepeperushwa katika Iraq
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Zaidi ya Wanachuoni Waislamu Masunni wamehudhuria Maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (saw) katika Shule ya Kiislamu ya Bweni ya Al Muntaha Madura, Indonesia, Ruwaza Moja ya Kuendeleza Nidhamu ya Khilafah.
Hizb ut Tahrir ndani ya Bara dogo la India imeandaa ndani ya siku zijazo kampeni kubwa ya kukumbuka kuanza kwa Vita vya Dunia vya Kwanza ambavyo mwisho wake kulipelekea kuvunjwa kwa Khilafah na kuvunjwa kwa nguzo za Dola ya Kiislamu ambayo ilikuwa imeasisiwa na Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) kwa kutumia wasaliti baadhi katika Waarabu waliowakilishwa na khaini Hussein bin Ali na watoto wake na Waturuki wakiwakilishwa na muhalifu wa karne, aliyefariki Mustafa Kamal.
Ikiwa ni sehemu ya matukio ya kiulimwengu yaliyoandaliwa na Hizb ut Tahrir kukumbuka kuvunjwa kwa Khilafah (28 Rajab) ili kuuamsha Ummah wa Kiislamu na kunoa maamuzi yake.
Kitengo cha Wanawake katika Hizb ut Tahrir ndani ya Ardhi ya Baraka (Palestina) kiliandaa mnamo Jumatano, 23 Rabii' Awwal 1441 H – 20 Novemba 2019 M warsha kubwa baada ya swala ya Asr ndani ya Msikiti wa Al-Sha'rawi huko Hebron (al-Khalil) ikiwa ni sehemu ya kampeni ya uzindushi dhidi ya CEDAW.
Wakati ambapo Waislamu wanataabika na kuhisi kutokuwepo kwa ngao yao, Khilafah, Hizb ut Tahrir Wilayah Pakistan imeanzisha Kampeni ya Twitter ili kuwataka simba wa Vikosi vya Kijeshi vya Pakistan kutoa Nussrah kwa Hizb ut Tahrir ili kusimamisha Khilafah ili hatimaye waweze kuunganishwa katika ukombozi wa Kashmir iliyo Vamiwa, na kwenda kuikomboa Al Aqsa Al Mubarak.
Hizb ut Tahrir Australia iliandaa warsha ambapo Mh. Ismail al Wahwah (Abu Anas), Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir Australia, aliwasilisha kichwa cha warsha, “Ufahamu juu ya Mapinduzi ya Watu ndani ya Ulimwengu wa Kiislamu.”
Maandamano: Ushindi ni kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu katika moyo wa Vienna
Uvamizi haramu na wa kinyama wa Kashmir kwa mara nyignine umeletwa mbele za dunia, baada ya tangazo la kubatilisha cheo maalum cha Kashmir iliyovamiwa na kufutwa kwa Kipengee 370 cha Katiba ya India na serikali ya India.
Wanaharakati kutoka Hizb ut Tahrir/ Afghanistan waliongozo maandamano ya wanafunzi mnamo Shawwal 1433 H - Septemba 16, 2012 M katika vyuo vikuu vyote ndani ya Kabul. Maandamano haya yalifanyika ili kupinga filamu iliyoandaliwa na Muamerika inayopinga Uislamu kwa kumkejeli Mtume Muhammad (saw) na uwepo wa Amerika ndani ya Afghanistan.