Hizb ut Tahrir / Uturuki: Amali Pana za Kukinusuru na Kukiombea Nusra Kimbunga cha Al-Aqsa!
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Uturuki: Amali Pana za Kukinusuru na Kukiombea Nusra Kimbunga cha Al-Aqsa!
Hizb ut Tahrir / Uturuki: Amali Pana za Kukinusuru na Kukiombea Nusra Kimbunga cha Al-Aqsa!
Hizb ut Tahrir Wilayah ya Kenya imechapisha toleo jipya la Jarida la UQAB kwa ajili ya mwezi wa Oktoba 2023 M.
Mnamo tarehe 26 Septemba 2023, wataalamu watatu huru wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa waliripoti kwamba kuna utenganishwaji wa lazima na sera za lugha kwa Uyghur na watoto wengine wa Kiislamu walio wachache katika shule za bweni zinazomilikiwa na serikali katika mkoa wa Xinjiang nchini China, ambapo ni sawa na kuoanishwa kwa lazima ndani ya thaqafa ya Kichina.
(Ama kushughulika na kesi zinazodhuru Uislamu na Waislamu, hii ni kwa sababu Mtume aliamuru kuuawa kwa watu wachache waliosababisha madhara kwa Uislamu na Waislamu katika zama za Jahiliyyah baada ya ufunguzi wa Makka, na hivyo waliuawa hata kama walijifunga kwenye mapazia ya Al-Kaaba, kwa kujua kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu amesema, "إن الإسلام يجب ما قبله" “Hakika Uislamu Hufuta Yale Yalikuwa Kabla Yake”
Jioni ya Alhamisi, Septemba 28, Waziri Mkuu, Ulf Kristersson, alitoa hotuba kwa taifa kuhusu ghasia ambazo zimeharibu nchi, akisema kwamba "ni sera ya uhamiaji isiyo na uwajibikaji na uoanishaji uliofeli ambao umetufikisha hapa".
Habari zilizuka kuhusu mkutano uliochukua takriban saa mbili kati ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Libya Najla El Mangoush na Waziri wa Mambo ya Nje wa umbile la Kiyahudi jijini Roma. Suala hilo lilipofichuka, Waziri Mkuu Abdul Hamid Dbeibah alitoa amri ya kumsimamisha kazi Najla El Mangoush katika Wizara ya Mambo ya Nje.
Chini ya kivuli cha uvamizi, ujumbe rasmi wa Saudia, ukiongozwa na Balozi Naif bin Bandar al-Sudairi, mjumbe wa ajabu, amewasili mjini Ramallah leo kuwasilisha nyaraka zake rasmi kwa Rais wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas.
Gharama ya mafuta nchini Kenya iligonga rekodi ya juu mnamo Ijumaa (Septemba 15) baada ya mdhibiti wa kawi kurekebisha bei ya pampu, na kuongeza ugumu wa kiuchumi unaowakabili mamilioni ya watu.
Mnamo tarehe 22 Septemba 2023, Waziri wa Mambo ya nje wa umbile la Kiyahudi, Eli Cohen alisema katika taarifa kwamba "nchi sita au saba" za Waslamu pia ziko tayari kusaini mikataba ya amani na umbile la Kiyahudi, kufuatia kujumuishwa kwa Saudi Arabia katika "makubaliano ya Abraham."
Mkutano wa karibuni wa wakuu wa nchi za jumuiya ya BRICs na G20 unaonyesha jumuiya hizo mbili zinaibuka ikiwa sehemu kubwa ya dunia karibuni tu itakuwa yenye kuhitaji kufanya maamuzi juu ya upande upi watahitaji kuwepo nao.