Tunatoa Wito kwa Watawala! Changamkeni, Chukueni Hatua! Ikiwa si Sasa, Lini?
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo Jumamosi, Oktoba 7, Waislamu nchini Palestina na nchi zote za Kiislamu waliamkia habari za furaha na shauku kubwa kwa sababu mashujaa wa Palestina walizindua operesheni pana, kamili, na muhimu dhidi ya umbile la Kiyahudi takriban saa kumi na mbili unusu asubuhi.