Serikali ya Misri Haitabanni Uislamu na Haihifadhi Hudud zake, na vile vile Al-Azhar
- Imepeperushwa katika Misri
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Nchini Misri, matukio ya kuwalazimisha wale wanaosilimu kutoka imani ya Kikubti kuukana Uislamu yanatokea mara kwa mara, mara nyingi hufanywa na kanisa na vyombo vya usalama, kwa ukimya kamili au wa karibu kamili kutoka kwa Mashiakhet Al Azhar (uongozi wa Al Azhar).