- Imepeperushwa katika Hotuba
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika taarifa ya mwisho iliyotolewa na Umoja wa Ulaya katika mkutano wake wa kilele jijini Brussels tarehe 23-24/6/2022,
Swali langu ni: ikiwa wanazuoni wamekubaliana kwamba, yeyote anayepinga kuwa Bismillahi sio aya katika Al-Faatiha basi hawi kafiri. Kwa sababu (hiyo Bismillahi) imethubutu kwa njia ya Aahaad (kupokewa na watu wachache) na wala sio kwa njia ya Tawaatur (kupokewa na watu wengi sana)…
Wimbi la bei ya juu linaikumba Jordan, na kuathiri bidhaa za kimsingi za chakula kama vile kuku, mafuta na nyama nyekundu, pamoja na bidhaa zingine.
Nilipewa kazi (mwakilishi wa mauzo) kwa kampuni inayouza bidhaa za vipodozi na manukato; baadhi ya vitu vina asilimia tofauti tofauti ya pombe (cologne, ambayo ina viwango vya juu vya pombe ya ethyl, na bidhaa zilizo na ethyl, methyl, na pombe ya isopropyl, kama vile manukato na vipodozi).
Baada ya kutumilizwa bwana wetu Muhammad, Mwenyezi Mungu rehema na amani zimshukie, je wale waliobakia katika dini ya Kiyahudi au Kikristo watahesabiwa miongoni mwa watu wa Peponi?
Al Jazeera English iliripoti mnamo tarehe 28/04/2022 kwamba, “Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif amemteua Bilawal Bhutto-Zardari, mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani Benazir Bhutto, kama waziri wa mambo ya nje...
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu na rehma na amani zimshukie Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) na jamaa zake na maswahaba wake na wafuasi wake:
Ama swali la kwanza: ni ipi hukmu ya kusoma Al-Faatiha katika swala kwa maamuma? Na je kumkuta Imam kwenye rukuu au akiwa karibu na kurukuu kwa hali ambayo maamuma hatoweza kusoma Al-Faatiha nzima, je itahesabika kapata rakaa?