Swadaqa ya Mwana Mwema Kumtolea Mzazi Wake Aliyekufa, Thawabu Zitamfikia?
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kifiqh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Je, sadaqa inayoendelea ni sharti iwe ni ile ambayo maiti alikuwa ameitoa kabla ya kufa kwake? Ama hata watoto wake wakiitolea roho yake pia itahisabika?