Maridhiano Kati ya Ethiopia na Eritrea: Mpango wa Kikoloni wa Kuhifadhi Maslahi ya Warasilimali wa Kimagharibi
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika kongamano mnamo 9 Julai 2018 jijini Asmara, Raisi wa Eritrea Isaias Afewerki na Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed walitia saini “Tangazo la Pamoja la Amani na Urafiki”.