Utawala wa Urusi Umemuhukumu Jannat Bespalova Miaka Mitano Jela!
- Imepeperushwa katika Urusi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo 18 Julai, katika mji wa St.Petersburg, mwanamke wa Kiislamu Jannat Bespalova (Alla Bespalova) alipatikana na hatia kwa kushiriki shughuli za Hizb ut Tahrir kutokana na kukiri kwa Bespalova juu ya mashataka hayo dhidi yake na kunyimwa haki ya kupinga uamuzi huo na mahakama haikuutilia maanani ushahidi wake na badala yake kumfunga kifungo cha miaka mitano gerezani.