Enyi Askari wa Kinana: Mtakutana na Mwenyezi Mungu kwa Namna Gani na Ni fedheha gani Mliyojiwekea juu ya Nafsi zenu?!
- Imepeperushwa katika Misri
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Enyi Wanajeshi wa Kinana: Wajibu wenu ni kuikomboa Palestina yote, kuwanusuru watu wake wanaodhulumiwa, na kuwaondolea dhulma, na kung'oa kila kinachowazuia nyinyi kutekeleza wajibu huu, zikiwemo tawala na watawala waovu.