Ujumbe Kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan Watoa Rambirambi kwa Kiongozi Abdul Rasoul Al-Nur
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Jumamosi, tarehe 8/1/2022, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir/Wilaya ya Sudan ukiongozwa na Sheikh Nassir Ridha Muhammad Othman, Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano, akifuatana na Ustadh Ibrahim Othman (Abu Khalil), Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan, na Ust. Abdullah Hussein, Mratibu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano,