Uzbekistan: Faini za Mamilioni ya Soum kwa Kuwafunza Watoto Uislamu
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo Juni 25, wawakilishi wa Oliy Majlis ya Jamhuri ya Uzbekistan walipitisha katika usomaji wa kwanza mswada unaokataza wazazi kupeleka watoto wao kusoma katika mashirika ya kidini ambayo hayajasajiliwa au kwa watu binafsi bila kibali kinachofaa. Mswada huo ulianzishwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Jamhuri ya Uzbekistan.