Jumatatu, 27 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/30
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Ukombozi “Njia ya Ukombozi wa Palestina… Maandamano ya Umma na Kupinduliwa kwa Mafirauni wa Zama Hizi!

Matembezi ya 41 mfululizo tangu kuanza kwa Vita vya Kingunga cha Al-Aqsa yalifanyika mbele ya Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu Tunis, ambayo yaliitishwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia, watu wa Zaytouna na kichwa chake kilikuwa “Njia ya kuikomboa wa Palestina... maandamano ya Umma na kupinduliwa kwa Mafirauni wa zama hizi!”

Soma zaidi...

Utawala wa Hasina kwa Kutumikia Uingereza, Unashiriki katika Vita vya Wakala ili Kulinda Utawala wa Junta wa Myanmar unaoungwa mkono na Uingereza ambao uliua Waislamu wa Rohingya

Mamia ya wanajeshi wa Kikosi cha Walinzi wa Mipaka ya Myanmar (BGP) na Jeshi kwa mara nyengine tena wanakimbilia Bangladesh kwa makaazi salama kutokana na mapigano makali yanayoendelea kati ya kundi la waasi la Arakan Army na junta ya kijeshi ya Myanmar huko Rakhine.

Soma zaidi...

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Tufani ya Twitter “Enyi Umma; Kilio Wanacholia Wafungwa wa Dhamiri nchini Uzbekistan!”

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir yaandaa Tufani ya Twitter kwa kichwa: “Enyi Umma; Kilio Wanacholia Wafungwa wa Dhamiri nchini Uzbekistan!” ili kuwanusuru wabebaji ulinganizi wenye ikhlasi wanaonyanyaswa na utawala dhalimu wa Uzbekistan.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Amali Kubwa “Gaza, ambayo kila Mtu ameitelekeza, inakufa chini ya Vifusi”!

Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa muda wa miezi saba, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa Waislamu zaidi ya elfu 130, wanaume na wanawake hadi sasa, Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki inaandaa amali kubwa za halaiki kote nchini Uturuki kuwataka Waislamu waungane chini ya bendera ya Khalifa mmoja ambaye atakusanya mara moja majeshi ya kuwanusuru Waislamu wanaodhulumiwa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina).

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu