Mashambulizi ndani kabisa ya Lebanon! Yako wapi Mamlaka ya Kisiasa na Vyombo vyake kuhusiana na Stahiki zake?! Je, Uvumilivu wa Kimkakati wa Mhimili Bado haukwisha?!
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mashambulizi ya mabomu ya Lebanon ya wale waliokasirikiwa - Mayahudi - yamekuwa ya mara kwa mara kila siku, na hata kuathiri miji mikubwa kama Sidoni, Tyre, na Nabatieh, baada ya kufungika kwenye vijiji vya mpakani, kuua na kujeruhi watu walio salama katika maeneo hayo na mijini.