Kwa Wanahabari na Vyombo vya Habari vya Ndani na vya Kiarabu
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tunakuhutubieni kwa hotuba hii, tukimuomba Mwenyezi Mungu Mtukufu azifungue nyoyo zenu kwa wema na hekima iliyokuja ndani yake, tukitumai kwamba mtaegemea upande wa Ummah wenu na kadhia zake, na muzieleze kadhia zake kwa njia ya inayotumikia umoja na mwamko wake na kupambana na maadui zake.