Mwaka Mpya wa Kiislamu Una Ujumbe Mzito wa Kimfumo, na Sio Jambo la Kisherehesherehe Tu
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kufuatia kuingia mwaka Mpya wa Kiislamu wa 1445 Hijria ambapo kwa mara ya kwanza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar rasmi imeifanya siku ya tarehe mosi Muharram kuwa siku ya mapumziko, huku Waislamu katika siku hiyo wakifanya amali mbalimbali za kuupokea na kuuadhimisha mwaka huo.