Marekani Yazunguka Afrika Kujaribu kuziba Aibu ya Kiulimwengu ya Urasilimali
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mke wa rais wa Marekani Dkt Jill Biden Mnamo siku ya Jumapili Februari 26, 2023 alitamatisha ziara yake ya siku tano katika mataifa mawili barani Afrika. Hii ilikuwa ni ziara yake ya sita barani, na ni ya kwanza huko Namibia, ya sita nchini Kenya.