Jumapili, 03 Rabi' al-thani 1446 | 2024/10/06
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Katika Kumbukumbu ya Kuvunjwa Khilafah, Yemen na Nchi Zote za Kiislamu zimo katika Misiba. Kumbukumbu Hii na iwe ni Kichocheo cha Hatua ya Kuisimamisha

Katika siku hii, tarehe ishirini na nane ya mwezi wa Rajab al-Khair katika mwaka wa 1342 H, sawia na tarehe tatu ya mwezi Machi mwaka wa 1924 M, uhalifu mkubwa zaidi dhidi ya Waislamu ulifanyika, wakati Magharibi kafiri, ikiongozwa na Uingereza, iliweza kuivunja dola ya Kiislamu.

Soma zaidi...

Tatizo la Kiuchumi nchini Jordan Kimsingi ni Tatizo la Kisiasa, na halitatatuliwa isipokuwa kupitia Mfumo wa Kiuchumi wa Kiislamu kwa kuregea Dola ya Khilafah

Haikutarajiwa kamwe kwamba Baraza la Wawakilishi, lenye kiwango cha 75% ya waliohudhuria, lingeidhinisha sheria jumla ya bajeti ya mwaka wa fedha wa 2023, licha ya ukosoaji mkali wa mswada huo wakati wa vikao vya mijadala ya siku 3 kutokana na nakisi ya kifedha, riba kubwa (riba) ya deni la umma, na kukosekana mipango, miradi na mikakati inayokuza ukuaji wa uchumi.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu