Nani Atakaesimama kwa ajili ya Wanaodhulumiwa? Yuko wapi Muislam Shujaa?
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo Disemba 21, 2022 katika tafrija ya kibinafsi kwenye mji mkuu wa Chile Santiago, Raisi Boric alitangaza mipango ya kufungua ubalozi katika maeneo ‘yaliokaliwa kimabavu’ ya Palestina.