Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 429
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Sifa njema zote njema ni za Mwenyezi Mungu aliye mteremshia mja wake Kitabu na wala hakukipinda, na swala na salamu zimshukie Mtume wa Mwenyezi Mungu aliyefikisha amana na akathibitisha hoja, na akatuacha baada yake juu ya dalili nyeupe.
Mnamo Alhamisi, Wizara ya Afya ya Palestina ilitangaza vifo vya Wapalestina 9, akiwemo mwanamke mzee, na wengine kujeruhiwa na vikosi vya Kiyahudi, baada ya kuvamia mji wa Jenin na kambi yake.
Katika ukurasa huu, tutaangazia amali zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 102 Hijria ya kuvunjwa Dola ya Kiislamu, Khilafah, mnamo tarehe 28 Rajab 1342 Hijria.
Uturuki: Mabalozi wa nchi 9, zikiwemo nchi zilizosimamisha kazi za ubalozi wao nchini Uturuki kwa kisingizio cha tishio la vitendo vya kigaidi, waliitwa kwa Wizara ya Mambo ya Nje. Mabalozi hao waliambiwa kwamba "Vitendo kama hivyo vya wakati mmoja havijumuishi njia ya usawa na ya busara."
Mnamo tarehe 5 Februari 2023, baada ya kuugua kwa muda mrefu, Musharraf aliaga dunia katika hospitali ya kibinafsi jijini Dubai. Jenerali Pervez Musharraf alichukua mamlaka baada ya mapinduzi kwa serikali ya Nawaz Sharif mwaka wa 1999. Utawala wa Jenerali Musharraf unaweza kutajwa kuwa enzi mbaya zaidi ya kujisalimisha kwa Marekani.
Bodi kuu ya Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) imeidhinisha mpango wa usaidizi kwa Bangladesh wenye thamani ya $4.7bn kwa viwango vya sasa vya ubadilishanaji fedha, na kuifanya nchi hiyo ya Kusini mwa Asia kuwa ya kwanza kufikia Mfumo wake mpya wa Ustahimilivu na Uendelevu (RSF).
Kila siku inayopita, Modi anaimarisha mshiko wake juu ya Kashmir. Ndani ya Kashmir, uwiano wa idadi ya Waislamu unabadilika. Wasio wa Kashmiri wako huru kununua mali. Wakashmiri wanazimwa, sauti zao zinanyamazishwa, nyumba zao zinabomolewa na vijana wao wanajaza magereza.
Hizb ut Tahrir / Denmark iliandaa maandamano katika uwanja wa Red Square huko Norbro jijini Copenhagen kwa kichwa:
Katika ukurasa huu, tutaangazia amali zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa - Palestina chini ya kichwa:
“Khilafah Itakomboa Ardhi na Kulinda Heshima”