Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 424
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani wa Lebanon, Muhammad Fahmy, alifichua katika mahojiano kwenye Al-Jadeed TV ndani ya kipindi cha “Al-Ria'asa”,
Mnamo tarehe 19 Disemba 2022, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Ned Price, alisema katika taarifa, "Tuko tayari kusaidia, iwe kwa hali hii inayojitokeza au kwa upana zaidi."
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki ilizindua kampeni yenye kichwa "Kuporomoka kwa Jamii...Matatizo na Suluhu"
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliyemtuma Mtume wake kwa uongofu na Dini ya haki ili kuifanya ishinde Dini zote ijapokuwa washirikina watachukia, na rehma na amani zimshukie mjumbe huyo kama rehema kwa walimwengu wote, aliyesimamisha dola ya kwanza ya Uislamu, ukitabikisha hukmu za Mola Mlezi wa walimwengu wote, rehma na amani za Mola wangu Mlezi ziwe juu yake, na jamaa zake na maswahaba wake watukufu, waliounda jengo la Khilafah Rashida, kwa njia ya Utume, na wanaowafuata kwa wema mpaka Siku ya Kiyama.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ilifanya kongamano la kisiasa lenye kichwa: “Muundo wa Makubaliano na Changamoto ya Khilafah”, mnamo Ijumaa, tarehe 29 Jumada al-Awwal 1444 H, sawia na 12/23/2022 M, katika uwanja wa Al-Thawra Al-Hara 42 huko Omdurman
Swali langu ni kuhusu kuwapa hongera Wakristo kwa sherehe zao na kushiriki nao, na kilichonisukuma kuuliza swali hili ni jibu la swali la Sheikh Taqiuddin al-Nabhani, Mwenyezi Mungu amrehemu, kuliruhusu hilo, hivyo nataraji kutoka kwenu ufafanuzi wa jambo hili. Pamoja nalo ni jibu la swali la Sheikh Taqi.
Katika kipindi cha miezi ya mwisho ya Jamhuri ya Kiislamu ya Afghanistan, wakati Taliban waliposonga mbele kwenye mji mkuu, serikali iliyochaguliwa ilijitahidi kuwahakikishia wakuu wake wa Marekani kwamba inaweza kudumisha udhibiti.
Mnamo Disemba 14, 2022, Redio ya Liberty ilichapisha makala kuhusu kauli za Imam Rakhmatullo Sayfiddinov: "Katika muongo wa kwanza wa Disemba, Uzbekistan ilishikwa na mgogoro wa kawi.