Jumatatu, 04 Rabi' al-thani 1446 | 2024/10/07
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Urithi wa Biden - Sheria ya Ulinzi wa Ndoa za Jinsia Moja

Joe Biden alitia saini Sheria ya Kuheshimu Ndoa. Mswada wa kulinda haki ya watu wa nchi hiyo kuingia katika ndoa za watu wa jinsia moja na watu wa rangi tofauti uliungwa mkono na wawakilishi wa pande zote mbili katika Bunge la Seneti, kwa mujibu wa makala "Rais wa Marekani Atia Saini Sheria ya Kulinda Ndoa za Jinsia Moja" katika tovuti ya DW.

Soma zaidi...

Je, kuna Matumaini kwa Misri chini ya Mfumo wa Kirasilimali na Sheria zake?! Je, Migogoro ya Kiuchumi ya Misri Itakwisha Lini na ni nani mwenye Masuluhisho Sahihi?!

Hakuna sauti iliyokubwa kubwa zaidi kuliko sauti ya misukosuko ya kiuchumi inayoikumba Misri na watu wake, ikiteketeza nguvu na juhudi zao, na kupoteza pamoja nao akiba zao. Mikopo na mikopo mipya ya kulipa maregesho ya mkopo, ikifuatiwa na sera na maamuzi na kufuja mabaki ya utajiri na mali ya Misri.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu