Jumanne, 05 Rabi' al-thani 1446 | 2024/10/08
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Jibu la Swali: Uchaguzi wa Bunge la Congress la Marekani

Chama cha Republican kilipata udhibiti, kwa wingi mdogo, juu ya Baraza la Wawakilishi la Marekani ambalo lina viti 435. [“Kilishinda angalau viti 218, kulingana na makadirio ya CBS News, mshirika wa BBC nchini Marekani.” (BBC, Novemba 17, 2022)]. Kuhusu Wanademokrasia, walisherehekea [“Jumapili kwamba chama kilibakisha wingi wa watu wengi katika Seneti ya Marekani,”

Soma zaidi...

Ndani ya Ubepari Usalama wa Chakula ni Mazigazi

Kuna mkanganyiko miongoni Wakenya wengi ya kuwa je ilikuwa ni busara kwa uamuzi wa serikali wa kuondosha marufuku ya vyakula vinavyotokana na mazao ya kisaki (GMO). Katika taifa ambalo kila mwaka hukumbwa na uhaba wa chakula unaosababishwa na mambo kadhaa ikiwemo ukame uliosababisha mamilioni ya Wakenya kukabiliwa na baa la njaa kila mwaka, dhana iliyoko ni kwamba vyakula vya GMO ni hatari kwa afya ya mwanadamu na katika kuendesha vyema kilimo.

Soma zaidi...

Kuharakisha Mahusiano Kati ya Serikali ya Uzbekistan na Marekani Kwaongeza Hofu ya Urusi

Serikali ya Urusi ilijibu hadharani kuimarisha uhusiano kati ya serikali ya Uzbekistan na Marekani. Hii ilikuwa wakati wa ziara ya Spika wa Jimbo la Duma la Urusi, Vyacheslav Volodin, huko Uzbekistan, ambayo ilianza Novemba 27, na katika tangazo rasmi la mwisho wa ziara hiyo lililowekwa kwenye tovuti ya Jimbo la Duma la Shirikisho la Urusi.

Soma zaidi...

Ukosefu wa Urasilimali wa Kuwathamini Wazee unatokana na Pesa kuwa Muhimu zaidi kuliko Thamani ya Utu

Bi kizee mmoja wa Marekani mwenye umri wa miaka 87 alikamatwa hadharani kwa kutolipa bili ya ukusanyaji wa taka. Faini ya dolari 77 iliyokuwa haijalipwa ilizingatiwa inastahili zaidi kwa maafisa wawili kumkamata nyumbani kwake asubuhi, kumtia pingu hadharani na kumpeleka gerezani. Aliwekwa katika seli ndogo kwa siku nzima hadi kuachiliwa kwake kulipojadiliwa.

Soma zaidi...

Kombe la Dunia la Qatar linaonyesha kwamba Ummah wa Kiisilamu uko katika bonde moja, Huku watawala wake wenye Kuhalalisha Mahusiano wako Bonde Jengine

“Mwanadiplomasia wa Kiyahudi alionyesha wasiwasi wake juu ya kukosekana uhalalishaji mahusiano na makubaliano ya amani, yaliyotiwa saini na umbile la Kiyahudi pamoja na baadhi ya watawala wa nchi za Kiarabu, na watu wa nchi hizo. Ilionekana wazi katika Kombe la Dunia nchini Qatar kwamba watu wanakataa uhalalisha mahusiano na mvamizi huyo.”

Soma zaidi...

Vichwa vya Habari 07/12/2022

Indonesia imepitisha kanuni mpya ya jinai yenye ubishani inayojumuisha kupiga marufuku kuishi kinyumba na ngono nje ya ndoa, katika mabadiliko ambayo wakosoaji wanashindana yanaweza kuhujumu uhuru katika taifa hilo la Asia ya Kusini. Sheria hizo mpya zinahusu watu wa Indonesia na wageni na pia zinaregesha marufuku ya kumtusi rais, taasisi za serikali au mfumo wa kitaifa wa Indonesia unaojulikana kama Pancasila.

Soma zaidi...

Familia za Afghanistan Zawalevya Watoto wao ili Kukabiliana na Njaa

Mnamo Novemba 24, 2022, BBC iliripoti juu ya uhaba mkubwa wa chakula ambao unakumba Afghanistan. Mgogoro huo ni kiasi kwamba Abdul Wahab, baba mmoja wa kijijini, ananukuliwa akisema, "Watoto wetu wanaendelea kulia, hawalali, hatuna chakula. Kwa hiyo tunakwenda kwenye duka la dawa, tunachukua vidonge na kuwapa watoto wetu, hivyo wanahisi kusinzia."

Soma zaidi...

China Yawalazimisha Wanawake wa Kiislamu wa Uyghur kuolewa na Makafiri ili Kuufuta Uislamu kutoka Turkestan Mashariki

Mnamo tarehe 16 Novemba 2022, gazeti la Telegraph iliripoti juu ya dhurufu za ndoa ya kulazimishwa ambayo inawasibu wanawake wa Kiislamu huko Turkestan Mashariki. Makala hayo yana kichwa "Wachina walipwa kuwaoa Waislamu katika mpango wa kuwaangamiza Wauyghur".

Soma zaidi...

Vichwa vya Habari 6/12/2022

Vita nchini Ukraine vimefichua udanganyifu mkubwa katika udhibiti mpya wa hifadhi za silaha baada ya Vita Baridi, na kuacha baadhi ya nchi zikijitahidi kukabiliana na mahitaji ya ulinzi. Ujerumani imekuwa ikikabiliwa na shinikizo la kudumisha dhamira yake ya ulinzi kwa NATO huku ikiipa Ukraine silaha zinazohitajika ili kukabiliana na Urusi.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu