- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Serikali ya Uholanzi inachukua hatua dhidi ya mashirika yasiyo rasmi ya elimu ya Kiislamu kama vile shule za Qur'an na shule nyingine za kibinafsi ambapo watoto wanaweza kujifunza Kiarabu na Quran. Hii inahusisha safu nzima ya hatua za vikwazo ili kuingilia kati, kufuatilia na kubadilisha mtaala wa elimu ya Kiislamu.
Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, atafanya ziara rasmi nchini Denmark Mei 3 - 4. Atakula chakula cha jioni na Malkia pamoja na kushiriki katika mkutano wa kilele wa Indo-Nordic, ulioandaliwa na Waziri Mkuu wa Denmark, Mette Frederiksen.
Msemaji wa Chama cha Bharatiya Janata cha India (BJP), Nupur Sharma alitoa matamshi ya matusi kuhusu Uislamu na juu ya Mtume (saw) na mkewe (ra) wakati wa mjadala wa televisheni. Baadaye mkuu wa idara ya habari ya Delhi, Naveen Kumar Jindal alichapisha tweet ya matusi kuhusu Mtume (saw).
Hivi majuzi, serikali ya Narendra Modi ilijikuta matatani baada ya baadhi ya wanachama wake kutoa matamshi ya dharau dhidi ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw). Katika nia ya kujinasua kutoka kwa ghadhabu inayozidi kuongezeka katika ulimwengu wa Kiislamu, Modi alichukua hatua haraka kuwasimamisha kazi maafisa wa BJP wenye hatia lakini hii haikusaidia kuzuia kashfa dhidi ya serikali yake.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa msururu wa visimamo vya kupinga sera ya kuiuza Tunisia kwa mfuko wa fedha wa kimataifa wa kikoloni!
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa kisimamo katika mji wa Kayrawan kwa anwani “Damu ya Mashahidi Wetu Itawaandama Walowezi Walioachwa na Ufaransa, na Watu kamwe Hawatasahau.”
Kufuatia kuwasilishwa kwa Pendekezo la Sheria ya Bajeti ya Serikali Kuu ya 2023 iliyoandaliwa na Uongozi wa Mkakati na Bajeti kwa Bunge Kuu la Kitaifa la Uturuki kwa utiaji saini wa Rais Erdogan, majadiliano ya bajeti yanaendelea katika Tume ya Mipango na Bajeti.
Oktoba 31, 2022 Huduma ya habari ya Kamati ya Serikali ya Usalama wa Kitaifa ya Jamhuri ya Kyrgyz kwenye ukurasa wake wa tovuti iliripoti: “Shughuli za seli ya chinichini ya Shirika la Kidini lenye itikadi kali (REO) “Hizb ut-Tahrir al-Islami” zimekandamizwa. Mnamo Oktoba 27, 2022, ndani ya muundo wa kesi ya jinai iliyoanzishwa chini ya Kifungu cha 332 sehemu ya 2 (Uzalishaji, usambazaji wa nyenzo zenye msimamo mkali) ya Kanuni ya Jinai ya Jamhuri ya Kyrgyz, wanachama 11 wachangamfu wa REO “Hizb ut-Tahrir al-Islami”.
Mara tu habari za matumizi makubwa ya Qatari kwa maandalizi ya Kombe la Dunia kuenea, ambayo yalifikia dolari bilioni 220 (mara 19 ya kima ambacho Urusi ilitumia kwenye Kombe la Dunia lililopita mnamo 2018), makala mingi yalionekana kujaribu kuhalalisha matumizi haya na kuonyesha juhudi za Qatar za kuitumia hafla hii ya michezo na hitaji lake kubwa kueneza Hadith za Mtume (saw), kupaza sauti ya adhan ya swala na kumleta Mlinganizi Zakir Naik nk.