Chaguzi za Kidemokrasia: Hadaa Inayorudiwa rudiwa kwa Umma
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC) imemtangaza naibu wa Rais William Samoei Ruto kuwa Rais mteule katika uchaguzi uliomalizika hivi punde.