Huwezi kuwa Mtetezi wa Jamhuri na wakati huo huo Mtetezi wa Sharia, Ewe Erdogan!
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika taarifa yake katika hafla ya kuhitimu kwa maafisa wa kidini na Uongozi wa Chuo cha Masuala ya Kidini, Rais Recep Tayyip Erdogan alisema yafuatayo: "Tunaona kwamba kampeni ya pande mbili inafanywa dhidi ya Uturuki na duru zinazoichukia Uturuki katika siku za hivi karibuni.