Jumatatu, 04 Rabi' al-thani 1446 | 2024/10/07
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir Wilayah Pakistan Kampeni kwa Kichwa “Rudisheni Khilafah” kwa mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 102 ya Kuanguka Khilafah

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan imeandaa kampeni kwa kichwa “Rudisheni Khilafah” katika mitandao ya kijamii kwa mwezi mzima wa Rajab 1444 Hijri, kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 102 ya kuanguka dola ya Kiislamu – Khilafah – kwa wakoloni makafiri.

Soma zaidi...

Bila Dinari za Dhahabu na Dirham za Fedha za Uislamu, Sarafu Yetu Daima Itaporomoka Mbele ya Dolari. Utawala wa Dolari Unadumishwa na IMF, Mlinzi wa Mfumo wa Fedha wa Kimataifa wa Kimagharibi

Kwa kuzingatia masharti ya IMF, serikali ya Pakistan ilishusha ghafla thamani ya rupia kwa karibu rupia ishirini na tano, ambayo ni asilimia kumi ya thamani yake, na kusababisha dhoruba ya mfumko wa bei.

Soma zaidi...

Serikali Inataka Kuudhuru Ulinganizi wa Khilafah kwa Kutumia Somoy TV Kuikashifu Hizb ut Tahrir kwa Habari za Uzushi

Ripoti ya habari ya Januari 17 katika Somoy News TV ya Bangladesh, ambayo mara kwa mara huwa kama msemaji wa serikali, ilidai kuwa Hizb ut Tahrir ina kile kinachoitwa uhusiano na mtu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ambaye pia ana uhusiano wa karibu na balozi za nchi za Magharibi.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu