Jumatatu, 04 Rabi' al-thani 1446 | 2024/10/07
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Kwa Mara ya Tatu, Hotuba za Halaiki Zilitolewa dhidi ya Muundo wa Makubaliano katika Msikiti Mkuu Jijini Khartoum

Ndani ya wigo wa kampeni ambayo Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan inaifanya dhidi ya muundo wa makubaliano, leo Alhamisi tarehe 5/1/2023, hizb ilitoa hotuba za halaiki kwa mara ya tatu baada ya swala ya Adhuhuri katika Msikiti Mkuu jijini Khartoum

Soma zaidi...

Kifungo cha Miaka 50 kwa Watuhumiwa wa Ugaidi ni Kushindwa kwa Propaganda ya Vita vya Ugaidi Tanzania

Mnamo tarehe 16/12/2022, Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Kanda ya Songea, Kusini mwa Tanzania iliwahukumu Waislamu sita akiwemo kikongwe wa miaka 73 kifungo cha miaka 50 jela baada ya kupatikana na “hatia” ya kuendesha vitendo vya kigaidi na kupanga kuiangusha serikali.

Soma zaidi...

Wako wapi Wanaume?

Mwanachuoni, Sayyid Qutb, katika kitabu chake kwa jina, “Katika Kivuli cha Qur’an” kuhusiana na aya: ﴾وَإِذۡ قَالَ رَبُّكَ لِلۡمَلَـٰٓٮِٕكَةِ إِنِّى جَاعِلٌ۬ فِى ٱلۡأَرۡضِ خَلِيفَةً۬﴿ “Na pale Mola wako Mlezi alipo waambia malaika, ‘Mimi nitamweka katika ardhi Khalifa (mfwatizi).’”

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu