Jumatatu, 04 Rabi' al-thani 1446 | 2024/10/07
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Kwa Mara ya Pili, Hotuba za Halaiki Zilitolewa dhidi ya Mfumo wa Makubaliano katika Msikiti Mkuu wa Khartoum

Katika muendelezo wa kampeni dhidi ya Mfumo wa Makubaliano, Hizb ut Tahrir/Wilaya ya Sudan ilitoa hotuba za halaiki kwa mara ya pili leo Jumatano tarehe 4/1/2023 M, baada ya swala ya Adhuhuri katika Msikiti Mkuu wa Khartoum, zikibainisha hatari ya fikra ya uhuru iliyodhaminiwa na Mfumo wa Makubaliano hayo.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Ugawanyaji kwa Mara ya Pili, wa Karatasi zenye Kupinga Mfumo wa Makubaliano!

Katika muendelezo wa kampeni inayofanywa na Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Sudan dhidi ya mfumo wa makubaliano, hizb iligawanya karatasi kwa mara ya pili mnamo Jumanne tarehe 3/1/2023 M katika Msikiti Mkuu wa Khartoum, kuonyesha ufisadi wa kile kilichoelezwa katika makubaliano hayo, na miongoni mwa yaliyoelezwa ndani yake: Tukatae mfumo wa makubaliano hayo na tuyapinge...

Soma zaidi...

Enyi Waislamu! Mahusiano ya Siri na Umbile la Kiyahudi Yanaonyesha kwamba Watawala wa Kisekula na Wanasiasa ndio Adui wa Waislamu na Uislamu

‘The New Age’ na magazeti mengine mashuhuri nchini Bangladesh yalichapisha ripoti mnamo Januari 11, 2023 kwamba serikali ya Bangladesh ilinunua kwa siri programu za ujasusi na zana za uchunguzi wa hali ya juu mwaka jana kutoka kwa kampuni inayoendeshwa na kamanda wa zamani wa kitengo cha teknolojia cha ujasusi cha umbile haramu la Kiyahudi 'Israel'. Serikali ya kinafiki ya Hasina imechagua kuwa mshirika na wale waliolaaniwa na Mola wa ulimwengu (swt).

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu