Majibu ya Habari
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mada: Hizb ut Tahrir ni Chama cha Kisiasa Kisichofanya Vitendo vya Kisilaha
Sio kwa Kumuogopa Yeyote, lakini kwa Kufuata Mfano wa Mtume (saw)
Tulipitia ripoti yenye kichwa: “Wahubiri, Watu Wenye Msimamo Mkali, na Makundi ya Kidini Watuma Barua za Vitisho kwa Balozi wa Marekani jijini Khartoum...