Uombaji Uliopangwa wa Watawala wa Tunisia kwa Badali ya Kufeli Kulikopangwa
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Rais wa Tunisia, Kais Saied, akimpokea katika Kasri la Carthage, mnamo Ijumaa, Novemba 4, 2022, Dkt. Abdel Rahman bin Abdullah Al Hamidi, Mkurugenzi Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfumo wa Fedha wa Waarabu, mbele ya Mkurugenzi wa Benki Kuu, Marwan Al Abbasi.