Jumanne, 28 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/10/01
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mkataba wa Khiyana Unalinda Umbile la Kiyahudi na Kulifanya Jeshi la Misri kuwa Mshirika katika Uhalifu wake, Kumwaga Damu ya Wanajeshi wa Kinanah

Mwanajeshi mmoja wa Misri aliuawa katika makabiliano ya risasi kati ya wanajeshi wa 'Israel' na Misri kwenye kivuko cha Rafah mnamo siku ya Jumatatu, kama ilivyothibitishwa na Shirika la Utangazaji la 'Israel'. (Sky News Arabia, 27/5/2024).

Soma zaidi...

Kizazi Dhaifu na Mafunzo ya Gaza

Takriban Kizazi (Gen Z) milioni 10 nchini Indonesia hawana ajira au wanajulikana kama NEET (wasio katika ajira, elimu na mafunzo). Ukweli huu unatokana na data ya BPS (2021-2022) ambapo kulikuwa na watu 9,896,019 mnamo Agosti 2023, ambayo ni karibu 21% ya idadi ya watu waliozaliwa kati ya 1997 na 2012.

Soma zaidi...

Ubinafsishaji Tayari Umeharibu Sekta ya Kawi, Ilhali Watawala Wangali Wanafuata Maagizo ya Angamivu ya Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF)

Katika Khilafah, chanzo kikubwa cha utajiri katika uchumi, nishati, kinagawiwa watu, kwa pamoja. Kutokana na mtazamo wake wa kipekee wa umiliki, Uislamu unahakikisha mzunguko wa mali katika jamii. Uislamu unazuia mali kujilimbikiza mikononi mwa wawekezaji wachache.

Soma zaidi...

Ili Kuthibitisha Utiifu wake kwa Mkruseda Marekani, Serikali ya Hasina imekuwa ikiwakamata na kuwatesa Watetezi wa Khilafah Rashida na Inapigana Vita dhidi ya Dini ya Uislamu

Katika muendelezo wa mateso ya kimfumo dhidi ya wale wanaobeba Da'wah ya Uislamu na Khilafah, mnamo tarehe 14 Mei, 2024, majambazi wa vikosi vya serikali walimkamata Hedayet Hosen (umri wa miaka 57) - mtetezi wa ulinganizi wa kusimamishwa tena Khilafah Rashida, na wakati wa kuhojiwa rumande walimtesa kiasi kwamba alilazimika kulazwa hospitalini

Soma zaidi...

Mauaji ya Kinyama ya Rafah Je, kuna ubinadamu wowote uliosalia duniani, achilia mbali katika Majeshi ya Waislamu?

Doha - Mei 27, 2024: Dola ya Qatar inalaani vikali shambulizi la bomu la 'Israel' ambalo lililenga kambi inayohifadhi watu waliokimbia makaazi yao huko Rafah katika Ukanda wa Gaza na kuacha makumi ya mashahidi na majeruhi; ikilizingatiwa kuwa ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa ambao utaongeza maradufu mzozo wa kibinadamu unaozidi kuwa mbaya katika Ukanda huo uliozingirwa.

Soma zaidi...

Nyuma ya Kongamano la Wanazuoni wa Dunia la 2024

Afisi ya Waziri katika Idara ya Waziri Mkuu (Mambo ya Kidini), kwa kushirikiana na Idara ya Maendeleo ya Kiislamu ya Malaysia (JAKIM) na Jumuiya ya Waislamu Ulimwenguni (MWL) kutoka Saudi Arabia, hivi karibuni iliandaa Kongamano la Viongozi wa Kidini Ulimwenguni la 2024 na Baraza la Wasomi wa Asia la 2024 jijini Kuala Lumpur.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu