Ijumaa, 01 Rabi' al-thani 1446 | 2024/10/04
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Chagua Baina ya Udhaifu na Matumaini

Waislamu wako zaidi ya bilioni mbili duniani. Kwa kuongezea, watafiti wengi wanaasharia kwamba Waislamu watawashinda kiidadi Wakristo kufikia mwaka 2050. [World Population Review, 2023]. Ardhi za Waislamu zimejaa rasilimali tele kama vile asilimia 70 ya mafuta, asilimia 50 ya gesi na rasilimali asili nyingine kando na kuwa rasilimali ya watu wengi. Hata hivyo, suali linalotia kizungumkuti ni kwa nini Waislamu wanataabika duniani kote licha ya kuwa na uwezo huo?

Soma zaidi...

Hizb ut Tahir / Indonesia: Amali Pana za Kuyataka Majeshi ya Waislamu Kuiokomboa Al-Aqsa!

izb ut Tahrir / Indonesia iliandaa amali pana katika miji mikuu 37 nchini ambapo maelfu ya watetezi na wafuasi walishiriki wakitaka majeshi ya Waislamu kutaharaki ili kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia Mto wake hadi Bahari yake kutokana na najisi ya Mayahudi wauwaji wahalifu.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Uswidi: Ikiwa Wewe ni Msaidizi wa Watawala wa Kitwaghut, Basi Wewe sio Miongoni mwa Ummat Muhammad ﷺ!

Kalima ya Ustadh Youssef Ahmed, mwanachama wa Hizb ut Tahrir / Uswidi, ya kuwanusuru na kuwaombea nusra Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na wito kwa majeshi ya Waislamu kuvunja vizuizi ambavyo watawala wa Ruwaibidha wamewawekea katika kambi zao

Soma zaidi...

“Hakika katika hayo upo ukumbusho kwa mwenye moyo au akatega sikio naye yupo anashuhudia.” [Qaf: 37]

Mnamo Jumamosi, 11/11/2023, takriban watawala sitini wa Kiarabu na wasiokuwa wa Kiarabu wa nchi za Waislamu walikutana jijini Riyadh kujadili uvamizi wa Mayahudi dhidi ya Gaza, yaani zaidi ya mwezi mmoja baada ya uvamizi wa Mayahudi kuanza, na baada ya mashahidi zaidi ya elfu kumi na moja na Karibu elfu thelathini kujeruhiwa.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Ukombozi… Kuwanusuru Watu wa Palestina na Msikiti ulio Mateka wa Al-Aqsa

Mbele ya ushujaa ulioonyeshwa na mujahidina mashujaa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile la Kiyahudi linaloendelea na kushambulia Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa, uzingiraji wake na upigaji mabomu wake unaoendelea kwa miaka 17 kwenye Ukanda wa Gaza

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu