Mgogoro wa Umeme Tanzania
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tanzania kwa sasa inakabiliwa na tatizo kubwa la umeme ambalo lilisababisha mgao wa umeme. Kwa mujibu wa serikali, sababu kubwa inayopelekea matatizo ya umeme ni kupungua kwa kina cha maji katika mabwawa ya kufulia umeme pamoja na ukarabati wa miundombinu ya umeme.