Jibu la Swali: Kuzungumza Neno la Haki kwa Sauti Kubwa
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kifiqh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Je, hii ina maana kwamba amri ya mtawala na kitendo cha mtawala ni kitu kimoja, ili tunaseme kuwa kusimama kinyume na amri zake ni sawa na kusimama kinyume na matendo yake, tukimaanisha kwamba tunaseme neno la haki mbele ya polisi wake au wasaidizi wake, kama kuzungumza mbele yake?