Uhuru wa Vyombo vya Habari chini ya Demokrasia Unaonekana Kuwa Hatari Zaidi kuliko Ule ulio chini ya Udikteta!
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo tarehe 10 Mei 2023, majukwaa fulani ya habari, yakiwemo magazeti na televisheni, yaliripoti kuzuiliwa kwa hadi Waislamu 16 katika miji miwili - Bhopal na Hyderabad.